• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BURIANI ALOYCE MWOGOFI

Imetumwa : January 25th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameshiriki kwenye mazishi ya aliyekuwa Katibu Tawala Msaidizi (Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu) Bw. Aloyce Mwogofi katika ibaada ya mazishi iliyofanyika Mkoani wa Njombe, Kijiji cha Itulike Kata ya Ramadhani.

Akizungumza na wafiwa na waombolezaji Mkuu wa Mkoa wa Dodoma amewataka waombolezaji kuiga mwenendo wake kwa kuiga mambo mema yoye aliyotekeza enzi za uhai wake.

“Mzee Mwogofi alikuwa ni mchapa kazi kwa asili yake, muadilifu na mfano wa kuigwa kuanzia vitendo, mavazi, nidhami na kwa kuwa kiongozi wa wa utumishi aliongoza wengine kwa mfano”Alisisitiza Bi. Senyamule.

Kama Serikali tunasema mapengo haya zibiki kwa maana hatutampata Mzee Mwogofi mwingine lakini tunaomba Mwenyezi Mungu atusaidie tupate mtu ambaye hatutaona hasara kubwa ya kumpoteza Mzee Mwogofi kwa maana ya alivokuwa.

"Mungu awashike Mkono familia awatie nguvu endeleeni kumtegemea Mungu leo tunamlaza Mzee wetu tuendelee kuiga mfano wa mzee wetu na tuige mema yake aliyokuwa anayanafanya” Alisisitiza Mhe. Senyamule .

Naye Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Dkt. Fatuma Mganga amesema tunaomtegemea Mungu tunaamini tunaeda kupata faraja kuu na tunaendelea na kazi  itoshe kusema kwamba mzee Mwogofi alikuwa ni mtu mwema akipenda upendo utamalaki katika eneo letu la kazi na hata nje ya kazi, hivyo tumempoteza mtaalamu katika utumishi.

Marehemu Aloyce Mwagofi alishawahi kufanya kazi katika Ofisi mbalimbali ikiwemo Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Wizara ya Sheria na Katiba, Wizara ya ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Kama katibu Tawala Msaidizi seksheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasimali watu.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 January 15, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 SHULE ZA BWENI (WASICHANA NA WANAUME) . December 20, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KATIBU TAWALA SINGIDA AKABIDHI OFISI KWA KATIBU TAWALA DODOMA

    March 23, 2023
  • MACHINGA DODOMA WAMPONGEZA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    March 23, 2023
  • KIWANDA CHA AINA YAKE KUJENGWA KONGWA

    March 17, 2023
  • WAFANYAKAZI WAASWA MSHIKAMANO MAHALA PA KAZI

    March 15, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Mkoa akiongoza siku ya maombi jijini Dodoma
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.