• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HOSPITAL YA MIREMBE YAPOKEA GARI YA WAGONJWA

Imetumwa : December 8th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule leo Disemba 8, 2023, amezindua gari mbili za Hospitali ya Taifa ya Afya ya akili Mirembe iliyopo katika Kata ya Hazina Jijini Dodoma ambapo kwa kipindi kirefu Hospitali hiyo imekua ikikabiliwa na ukosefu wa vitendea kazi hivyo.

Akizindua gari hizo ambazo moja ni kwa ajili ya kubebea wagonjwa na nyingine ni kwa matumizi ya kazi za kawaida za Hospitali, Mhe. Senyamule amesisitiza utunzaji wake.

"Serikali ya awamu ya Sita wakati huu imekua na kasi kubwa ya kuimarisha huduma za afya na kwa Mkoa wetu wa Dodoma kila ngazi imeimarika kwa nafasi yake. Kwa mwaka huu pekee kumekua na uzinduzi wa gari za wagonjwa ambapo Mkoa wetu umepata jumla ya gari 30 ambapo 10 ni kwa ajili ya kazi na 20 kwa ajili ya kubeba wagonjwa.

"Natoa shime kwa watumiaji wa gari hizi kuzitumia kwa utaratibu na miongozo ili ziweze kudumu kama ilivyotarajiwa hivyo vitendea kazi hivi vitumike vizuri. Afya ya akili ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa mapema ili lisikufikishe sehemu mbaya. Huduma munayoitoa ikifikia watu wengi, itatengeneza utashi zaidi." Amesema Mhe. Senyamule.

Hata hivyo, Mkurungenzi Mtendaji wa Hospitali ya Mirembe Dr. Paul Lawala, ameishukuru Serikali kwa kuona umuhimu wa kuleta vitendea kazi kwenye Hospitali yake kwani hapo awali walikua wakipata changamoto kwenye utekelezaji wa huduma hasa linapohitajika suala la usafiri kwani kwa Sasa wamepanua huduma za Hospitali za dharura na mahututi hivyo ujio wa gari hizi umefika wakati muafaka kutatua changamoto hiyo.

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MADEREVA WA SERIKALI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI

    May 17, 2025
  • WATANZANIA WATAKIWA KUILINDA NA KUIDUMISHA AMANI NI KURUHUSU MAENDELEO NCHINI

    May 15, 2025
  • MKURUGENZI WA ‘WATER FOR PEOPLE ‘ AMTEMBELEA RAS MMUYA

    May 16, 2025
  • WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WAASWA SAFARI YA ELIMU BADO NI NDEFU

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.