• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Dodoma Dkt. Mahenge Awatembelea Viongozi wa Wazee Dodoma, Wamuahidi Uhirikiano

Imetumwa : November 7th, 2017

RC DODOMA DKT. MAHENGE AWATEMBELEA VIONGOZI WA WAZEE DODOMA, WAMUAAHIDI USHIRIKIANO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Dkt. Binilith Mahenge amemtembelea na kufanya mazungumzo na mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dodoma Balozi Mstaafu Job Lusinde ambapo mwenyekiti huyo wa Wazee amemuhakikishia Dkt. Mahenge ushirikiano kutoka kwa Wazee wakati wote wa uongozi wake Mkoani Dodoma.

Dkt. Mahenge alimtembelea Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Balozi (Mstaafu) Lusinde kwa lengo la kujitambulisha kama Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma na kuahidi kuwa atakutana na Baraza zima la Wazee la Mkoa wa Dodoma hivi karibuni, aidha, Dkt. Mahenge alipata pia fursa ya kumtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mheshimiwa Mizengo Pinda nyumbani kwake Zuzu nje kidogo ya Mji wa Dodoma na kujionea shughuli za kilimo na ufugaji wa kisasa wa mifugo, nyuki na samaki.

Balozi (Mstaafu)Lusinde amebainisha kumfahamu Mheshimiwa Dkt. Mahenge kwa muda mrefu akiwa kwenye nafasi mbalimbali za uongozi na kumpongeza kwa jitihada zake za kuongoza na kutumikia wananchi kwenye nafasi mbalimbali alizowahi kutumika hivyo kumuhakikishia ushirikiano kutoka kwa baraza la wazee.

“Wakati wote wa uongozi wako hapa Mkoani Dodoma, Baraza la Wazee litakuunga mkono na kukupatia ushirikiano mkubwa ili uweze kutekeleza majukumu yako hususani ya kusimamia shughuli za maendeleo kwenye Mkoa wa Dodoma” alisisitiza Balozi Lusinde wakati wa mazungumzo yake na Mkuu wa Mkoa Dkt. Mahenge.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Binilith Mahenge (kulia) akilakiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Dodoma Balozi Mstaafu Job Lusinde alipomtembelea nyumbani kwake Uzunguni Mjini Dodoma, Balozi Lusinde amemuhakikishia Dkt. Mahenge ushirikiano kutoka kwa wazee.



Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Binilith Mahenge (kulia) akifanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Dodoma Balozi Mstaafu Job Lusinde alipomtembelea nyumbani kwake Uzunguni Mjini Dodoma, Balozi Lusinde amemuhakikishia Dkt. Mahenge ushirikiano kutoka kwa wazee.


Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda akimtembeza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Binilith Mahenge kwenye mradi wake mpya wa ufugaji samaki wakati Dkt. Mahenge alipomtembelea Mhe. Pinda nyumbani kwake Zuzu nje kidogo ya mji wa Dodoma.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 January 15, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 SHULE ZA BWENI (WASICHANA NA WANAUME) . December 20, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SENYAMULE AAGIZA UJENZI WA MADARASA KUKAMILIKA KWA WAKATI

    May 29, 2023
  • CHEMBA WAASWA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA

    May 27, 2023
  • GUGU AKUTANA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA CAMBRIDGE

    May 23, 2023
  • SENYAMULE AZINDUA JUKWAA LA PILI LA VYAMA VYA USHIRIKA

    May 19, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Mkoa akiongoza siku ya maombi jijini Dodoma
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.