• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MTAKA ATAKA RANCHI YA MIFUGO YA KONGWA IWANUFAISHE WAFUGAJI MKOANI DODOMA

Imetumwa : June 8th, 2021



Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka (Katikati) akiwa pamoja na wanachama wa chama cha Wafugaji wa Mkoa wa Dodoma

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka akivishwa shuka la kimasai na Kaniki la kabila la wagogo na Wanachama wa Chama cha Wafugaji wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa Chama hicho

Picha ya pamoja kati ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka  na wanachama wa chama cha Wafugaji wa Mkoa wa Dodoma

Mhe. Anthony Mtaka akizungumza na Wanachama wa Chama cha Wafugaji wa Mkoa wa Dodoma

Wanachama wa Chama cha Wafugaji Mkoa wa Dodoma wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma (hayupo pichani) wakati wa mkutano wa chama hicho

................................................................................................


RC MTAKA ATAKA RANCHI YA MIFUGO YA KONGWA IWANUFAISHE WAFUGAJI MKOANI DODOMA


Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka ameahidi kukutana na uongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi ili kujadili namna ya kuwawezesha Wafugaji wa Mkoa wa Dodoma kunufaika na shamba la Mifugo la Serikali lililopo Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma (Kongwa Ranch).


Mhe. Mtaka amesema atazungumza na  Wizara ya Mifugo ili wawapatie Wakulima wa Dodoma, vitalu vya ardhi kwenye shamba hilo la Mifugo la Serikali lenye ukubwa wa Hekta 38,000 (sawa na Ekari 95,000) kwa utaratibu wa kukodisha ili Wakulima hao waweze kupata maeneo ya kutosha ya kuendeshea shughuli za ufugaji wa kisasa na uoteshaji malisho ya Mifugo.


Mhe Mtaka amesema kuwa, kipaumbele chake katika sekta ya ufugaji kwenye Mkoa wa Dodoma ni kuendesha ufugaji bora, wakisasa, wenye tija na uwekezaji wa Viwanda vya kuongeza thamani ya Mazao ya Mifugo Kama vile Nyama, Maziwa, Ngozi, Pembe na kwato.


Ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki wakati akifungua mkutano wa Wafugaji wa Mkoa wa Dodoma ambao katika Risala yao waliyoisoma kwa Mkuu wa Mkoa Mtaka, wamemlalamikia kukabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maeneo ya kufugia/maeneo ya malisho na kwamba maeneo mengi yaliyopo yana changamoto ya migogoro ya mipaka, ukosefu wa mipango ya matumizi bora ya  Ardhi, ukosefu wa huduma muhimu kama maji na majosho ya kuogeshea Mifugo.


Akisoma risala ya Wafugaji, katibu wa Chama cha Wafugaji Mkoa wa Dodoma Bw. Reginaldo Lubeleje amesema kuwa baadhi ya maeneo ya ufugaji na malisho yamekuwa yakivamiwa kwa shughuli za kilimo; Aidha, Wakulima bado wana ukosefu wa Elimu ya Kutosha ya ufugaji  bora na kuongeza kuwa kwa hapa Dodoma lipo shamba kubwa la Mifugo la Serikali Wilayani Kongwa (Kongwa Ranch) lakini halina mchango katika kuwasaidia tija Wakulima wa Dodoma na kubadili aina ya ufugaji wao kuwa ufugaji bora na  wakisasa.


Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka ameahidi kukutana na uongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi ili kujadili namna ya kuwawezesha Wafugaji wa Mkoa wa Dodoma kunufaika na shamba la Mifugo la Serikali lililopo Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma (Kongwa Ranch).


Mhe. Mtaka amesema atazungumza na  Wizara ya Mifugo ili wawapatie Wakulima wa Dodoma, vitalu vya ardhi kwenye shamba hilo la Mifugo la Serikali lenye ukubwa wa Hekta 38,000 (sawa na Ekari 95,000) kwa utaratibu wa kukodisha ili Wakulima hao waweze kupata maeneo ya kutosha ya kuendeshea shughuli za ufugaji wa kisasa na uoteshaji malisho ya Mifugo.


Mhe Mtaka amesema kuwa, kipaumbele chake katika sekta ya ufugaji kwenye Mkoa wa Dodoma ni kuendesha ufugaji bora, wakisasa, wenye tija na uwekezaji wa Viwanda vya kuongeza thamani ya Mazao ya Mifugo Kama vile Nyama, Maziwa, Ngozi, Pembe na kwato.


Ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki wakati akifungua mkutano wa Wafugaji wa Mkoa wa Dodoma ambao katika Risala yao waliyoisoma kwa Mkuu wa Mkoa Mtaka, wamemlalamikia kukabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maeneo ya kufugia/maeneo ya malisho na kwamba maeneo mengi yaliyopo yana changamoto ya migogoro ya mipaka, ukosefu wa mipango ya matumizi bora ya  Ardhi, ukosefu wa huduma muhimu kama maji na majosho ya kuogeshea Mifugo.


Akisoma risala ya Wafugaji, katibu wa Chama cha Wafugaji Mkoa wa Dodoma Bw. Reginaldo Lubeleje amesema kuwa baadhi ya maeneo ya ufugaji na malisho yamekuwa yakivamiwa kwa shughuli za kilimo; Aidha, Wakulima bado wana ukosefu wa Elimu ya Kutosha ya ufugaji  bora na kuongeza kuwa kwa hapa Dodoma lipo shamba kubwa la Mifugo la Serikali Wilayani Kongwa (Kongwa Ranch) lakini halina mchango katika kuwasaidia tija Wakulima wa Dodoma na kubadili aina ya ufugaji wao kuwa ufugaji bora na  wakisasa.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 January 15, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 SHULE ZA BWENI (WASICHANA NA WANAUME) . December 20, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KIWANDA CHA AINA YAKE KUJENGWA KONGWA

    March 17, 2023
  • WAFANYAKAZI WAASWA MSHIKAMANO MAHALA PA KAZI

    March 15, 2023
  • BILIONI 4.6 KUIBADILISHA RANCHI YA KONGWA

    March 15, 2023
  • SENYAMULE AWAKARIBISHA MABALOZI DODOMA

    March 15, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Mkoa akiongoza siku ya maombi jijini Dodoma
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.