• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SENYAMULE AWAKARIBISHA MABALOZI DODOMA

Imetumwa : March 15th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma leo tarehe 14/03/2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan Mhe.Yasushi Misawa na Mhe. Tri Yogo Jatmiko balozi wa Indonesia nchini Tanzania, katika Ofisi yake Dodoma.

Kwa nyakati tofauti Balozi wa Japan Mhe.Yasushi Misawa ameonesha nia ya kuhamia katika Jiji la Dodoma kuendeleza juhudi ya Serikali katika kuhakikisha balozi na mashirika ya kimataifa yanahamia Dodoma Makao Makuu ya nchi.

Balozi Misawa amesema pia ujio wa Ubalozi wa Japan katika makao makuu ya nchi una lengo la kuimarisha ushirikiano uliopo wa muda mrefu baina ya nchi hizi mbili ikiwa ni pamoja na kuona maeneo mahsusi ya kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo na ujenzi wa viwanda.

Kwa upande mwingine, Balozi wa Indonesia nchini Tanzania Mhe. Tri Yogo Jatmiko amesema ujio wake umelenga kuanzisha ushirikiano baina Jiji la Dodoma na Jiji la Jakarta.

Amesema Indonesia iko tayari kushirikiana na Jiji la Dodoma katika kuendelea maeneo ya uwekezaji ikiwa ni pamoja na ujenzi wa viwanda vya kukamua mafuta kupitia miti ya "Miarobaini"

Balozi Tri Yogo Jatmiko amesema nchi yake kwa upande wa Zanzibar inaendelea kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuwawezesha akina mama katika miradi ya kukamua mafuta ya karafuu.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema Serikali ya Awamu ya Sita imefanya maboresho makubwa katika Mkoa wa Dodoma ikiwa ni pamoja na kuimarisha miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege na huduma za afya.

“Tunawakaribisha Dodoma, Makao Makuu ya nchi yetu, Fahari ya watanzania, Serikali imeimarisha kila sekta na baadhi ya Balozi na mashirika ya kimataifa yamehamia,nitoe shime kwao kufungua ofisi hapa na kuendelea kushirikiana nasi katika masuala ya maendeleo ya nchi yetu” Senyamule alisisiza.

Jumla ya viwanja 67 vimetengwa katika mji wa Serikali Mtumba kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi za Serikali na mashirika ya kimataifa.

 

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 January 15, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 SHULE ZA BWENI (WASICHANA NA WANAUME) . December 20, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KATIBU TAWALA SINGIDA AKABIDHI OFISI KWA KATIBU TAWALA DODOMA

    March 23, 2023
  • MACHINGA DODOMA WAMPONGEZA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    March 23, 2023
  • KIWANDA CHA AINA YAKE KUJENGWA KONGWA

    March 17, 2023
  • WAFANYAKAZI WAASWA MSHIKAMANO MAHALA PA KAZI

    March 15, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Mkoa akiongoza siku ya maombi jijini Dodoma
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.