• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VYOMBO VYA USALAMA VYAAGIZWA KUCHUKUA HATUA VITENDO VYA KIKATILI KWA WATOTO

Imetumwa : July 23rd, 2024

Agizo limetolewa kwa vyombo vya usalama Mkoa wa Dodoma kuchukua hatua kali kwa yeyote atakayebainika kuhusika na vitendo vya kikatili vilivyoibuka hivi karibuni kwa watoto ikiwemo mauaji na kukatwa baadhi ya viungo vya mwili katika maeneo mbalimbali ya nchi.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule ametoa agizo hilo wakati wa mkutano wa hadhara alioufanya na wananchi wa Kata ya Ipagala kwenye ofisi za Kata hiyo Jijini Dodoma Julai 22, 2024 wenye lengo la kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili.

“Jambo la Mtoto kutekwa halivumiliki na Serikali. Matukio haya yanafahamika na yanafanyiwa kazi na yeyote atakayebainika kuhusika, atachukuliwa hatua za kisheria. Natoa agizo kwa vyombo vya usalama kuchukua hatua za haraka kwa matukio yanayosababisha vifo ili jambo hili lifike mwisho” RC Senyamule.

Aidha, agizo hilo limefuatia kero iliyowasilishwa mbele ya Mkuu wa Mkoa huyo na moja kati ya wakazi wa eneo hilo aliyelalamikia uwepo wa matukio hayo kwenye eneo lao sambamba na kuiomba Serikali ijenge kituo cha Polisi kwenye Kata hiyo.

Akitoa jawabu la kero hiyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Theopista Mallya, amesema tayari Serikali imetangaza ujenzi wa vituo vya Polisi kwenye kila Kata japo kuwa kama jamii inauhitaji wa haraka inashauriwa kujenga kwa nguvu zao boma la kituo na Serikali itamalizia.

Mkutano huo uliibua kero mbalimbali zikiwemo ardhi na maji na zote zilipatiwa majawabu ambapo Mkurugenzi wa Jiji atafungua kliniki fupi ya ardhi Julai 24 katika eneo hilo huku DUWASA wakitarajia kutekeleza mradi wa shilingi Bilioni 10.2 utakaotatua kero ya maji safi na mradi wa uboreshaji maji taka kwa gharama ya shilingi Bilioni 164.


#dodomafahariyawatanzania#keroyakowajibuwangu

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MADEREVA WA SERIKALI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI

    May 17, 2025
  • WATANZANIA WATAKIWA KUILINDA NA KUIDUMISHA AMANI NI KURUHUSU MAENDELEO NCHINI

    May 15, 2025
  • MKURUGENZI WA ‘WATER FOR PEOPLE ‘ AMTEMBELEA RAS MMUYA

    May 16, 2025
  • WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WAASWA SAFARI YA ELIMU BADO NI NDEFU

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.