• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANAWAKE SIMAMENI KWENYE NAFASI ZENU ZA MALEZI - SENYAMULE

Imetumwa : January 28th, 2023

Wito umetolewa kwa wanawake kusimama kwenye nafasi zao za malezi kwa watoto ili kutengeneza jamii yenye maadili. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule alipokuwa akitoa hotuba yake wakati wa Kongamano la wasichana wa Baraza la Kiislamu Tanzania BAKWATA lililofanyika kwenye eneo la Msikiti wa Gaddafi Jijini Dodoma.

Kongamano hilo lililoandaliwa na BAKWATA kwa wasichana, limelenga kujadili mambo mbalimbali yanayowakabili wasichana kwenye jamii hasa kukithiri kwa vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia na vitendo vya ukatili kwa watoto na wanawake katika jamii zetu.

"Wanawake tusimame kwenye nafasi zetu za malezi ya watoto kwani maadili yameharibika nyakati hizi ndio mana kuna wimbi kubwa la vitendo vya unyanyasaji na ukatili kwa watoto na wanawake. Tukishirikiana na kuamua kwa pamoja kutokomeza vitendo hivi, hakuna linaloshindikana" Amesema Mhe Senyamule

Aidha amefafanua suala la mikopo inayotolewa na Halmashauri kwa kundi la wanawake na kuwaondolea hofu ya kwenda kukopa.

"Tutaandaa wadau watakaowapa darasa juu ya mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri. Ondoeni hofu ya kuchukua mikopo kwani kwenye manunuzi ya Serikali, Sheria imewekwa kwamba asilimia 10 ya manunuzi yafanyike kutoka kwenye vikundi vya wanawake wajasiriamali na Kwa Sasa Mkoa wetu una miradi mingi inayohitaji ununuzi wa vifaa, hivyo undeni vikundi, muende mukapate mikopo muanzishe biashara kwani wateja wapo ikiwemo Serikali" Mhe. Senyamule

Vilevile, Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Bw. Mustapha Rajab Shaaban amezungumzia juu ya uhuru wa kuabudu kwa kusema;

"Serikali yetu haina dini na inatoa fursa kwa kila mtu kuabudu kwa imani yake ili mradi tu asivunje katiba. nitashangaa kuona watu wa dini tofauti wanagombana kisa utofauti wa Imani zao. Tuungane na Serikali kufanya ibada zetu huku tukidumisha Amani na utulivu" Sheikh Mustapha Shaaban.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 January 15, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 SHULE ZA BWENI (WASICHANA NA WANAUME) . December 20, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KATIBU TAWALA SINGIDA AKABIDHI OFISI KWA KATIBU TAWALA DODOMA

    March 23, 2023
  • MACHINGA DODOMA WAMPONGEZA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    March 23, 2023
  • KIWANDA CHA AINA YAKE KUJENGWA KONGWA

    March 17, 2023
  • WAFANYAKAZI WAASWA MSHIKAMANO MAHALA PA KAZI

    March 15, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Mkoa akiongoza siku ya maombi jijini Dodoma
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.