• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Yas YATAMBULISHA HUDUMA ZAKE MKOA WA DODOMA

Imetumwa : November 28th, 2024

Na. Hellen M. Minja,

       Habari – DODOMA RS

Uongozi wa Kampuni ya mawasiliano nchini, @Yas  umemtembea Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Kaspar Mmuya ofisini kwake jengo la Mkapa Jijini Dodoma leo Novemba 28, 2024 kwa lengo la kutambulisha mabadiliko yaliyotokea kwenye kampuni hiyo ambayo awali ilijulikana kama Tigo pamoja na huduma zake.

Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, amewashukuru kwa kufika kutambulisha mabadiliko hayo kwa Uongozi wa Mkoa na kuwataka kushirikiana kwa kila fursa itakayoonekana.

“Nawashukuru na ninawapongeza kwa mabadiliko yanayoonekana kwenye mawasiliano na watumiaji wamekubali mabadiliko hayo. Teknolojia ina harakisha maendeleo hivyo, kama kuna fursa yeyote hapa Mkoani mniambie kwa kuwa lengo ni kujenga huu Mkoa, ichukulieni Dodoma tofauti na muwe na mkakati maalum kwa ajili ya Dodoma” Amesema Bw. Mmuya.

Kadhalika, Mkurugenzi wa Kanda ya kati wa Kampuni hiyo Bw. Said Idd amesema kampuni hiyo imefanya mabadiliko kwa lengo la kuboresha huduma kwa ubora zaidi kwani mpaka sasa wameweza kuwafikia Watanzania Nchi nzima kwa mtandao wenye kiwango cha 4G na 5G.

Aidha,Mkurugenzi huyo aliongeza kuwa ;

"Tumebadilisha chapa yetu ili kuendana na maono yetu ya baadaye na kutoa huduma bora zaidi kwa wateja wetu. Chapa yetu mpya ina akisi dhamira yetu ya kuendeleza ubunifu, huduma bora kwa kuzingatia mahitaji ya wateja wetu wa Kanda ya Kati na Nchi nzima kwa Ujumla."

Uongozi wa kampuni hiyo uliomtembelea Katibu Tawala Mkoa ni pamoja na Bw. Richard Mmari - Meneja Kanda ya kati, Tinna Mrisho - Meneja Masoko Kanda ya kati,Frank Anthony na Martin Mavura ambao ni Mameneja mauzo Dodoma.


#dodomafahariyawatanzania

#keroyakowajibuwangu        

#mtiwangubirthdayyangu

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RAIS DKT. SAMIA ASISITIZA KUIMARISHWA KWA KILIMO ILI KUJIHAKIKISHIA USALAMA WA CHAKULA

    June 28, 2025
  • SERIKALI IMEJIZATITI KULETA MAENDELEO KWA KUIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA BIASHARA

    June 25, 2025
  • TANZANIA SIYO SALAMA KWA WAUZAJI , WASAFIRISHA, WALIMAJI NA WATUMIAJI WA DAWA ZA KULEVYA” - MHE. MAJALIWA

    June 26, 2025
  • SHUGHULI ZA KIBINADAMU ZATAJWA KUWA TISHIO KWA CHANZO CHA MAJI BONDE LA MAKUTUPORA JIJINI DODOMA

    June 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.