Wednesday 18th, May 2022
@UKUMBI WA MWL. NYERERE, CHUO CHA MIPANGO
Uongozi wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, umepanga kufanya Kongamano la Wadau wa Elimu wa Mkoa kwa lengo la kuangazia changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya elimu kwenye Mkoa wa Dodoma na kusababisha kushuka kwa kiwango cha Elimu na hali ya ufaulu katika Mkoa.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Machi 6, 2020; Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge amesema kuwa, kongamano hilo litafanyika tarehe 21 na 22 Machi, 2020 katika Ukumbi wa Mwl. Nyerere, Chuo cha Mipango, Dodoma. ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa
Anuani ya Posta: 914 DODOMA
Simu: +255 26 232 4343/232
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz
Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.