• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Dodoma Region
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Msaada
      • TEHAMA
      • Huduma za Sheria
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KONGAMANO LA WADAU WA ELIMU MKOA WA DODOMA, MACHI 21 - 22, 2020

Wednesday 18th, May 2022
@UKUMBI WA MWL. NYERERE, CHUO CHA MIPANGO

Uongozi wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, umepanga kufanya Kongamano la Wadau wa Elimu wa Mkoa kwa lengo la kuangazia changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya elimu kwenye Mkoa wa Dodoma na kusababisha kushuka kwa kiwango cha Elimu na hali ya ufaulu katika Mkoa.

Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Machi 6, 2020; Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge amesema kuwa, kongamano hilo litafanyika tarehe 21 na 22 Machi, 2020 katika Ukumbi wa Mwl. Nyerere, Chuo cha Mipango, Dodoma. ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA DARASA LA NNE (SFNA) 2020 January 15, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MHE. RAIS SAMIA MGENI RASMI MEIMOSI 2022, RC MTAKA AZINDUA HASHTAG MAALUM: #MEIMOSI2022dodomakivingine

    April 14, 2022
  • WALIMU WA MICHEZO WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MKOANI DODOMA WAPIGWA MSASA

    April 12, 2022
  • MKOA WA DODOMA UMEPOKEA MSAADA WA DAWA NA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA MILIONI 16 KUTOKA TMDA

    April 09, 2022
  • RC MTAKA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA MKOANI DODOMA

    June 18, 2021
  • Tazama Zote

Video

RC MTAKA ATANGAZA KAMBI ZA MASOMO KWA MADARASA YANAYOKABILIWA NA MITIHANI YA TAIFA
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.