• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MHE. RAIS SAMIA MGENI RASMI MEIMOSI 2022, RC MTAKA AZINDUA HASHTAG MAALUM: #MEIMOSI2022dodomakivingine

Imetumwa : April 14th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka, amezindua hashtag maalumu kwa ajili ya kampeni ya kuhamasisha maadhimisho ya Mei Mosi kitaifa ambayo mwaka huu yatafanyikia Makao Makuu ya nchi, Dodoma. Uzinduzi huo umefanyika leo tarehe 14 Aprili, 2022 kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka, amezindua hashtag maalumu kwa ajili ya kampeni ya kuhamasisha maadhimisho ya Mei Mosi kitaifa ambayo mwaka huu yatafanyikia Makao Makuu ya nchi, Dodoma. Uzinduzi huo umefanyika leo tarehe 14 Aprili, 2022 kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Pichani, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka na wadhamini wakuu wa Maadhimisho ya Mei Mosi, 2022 Benki ya CRDB

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka, akizungumza na waandishi wa habari baada ya Uzinduzi wa hashtag ya Maadhimisho ya Mei Mosi inayosema #meimosi2022dodomakivingine#. Hashtag hii ndiyo itakayotumika katika kampeni ya kuhamasisha maadhimisho ya mwaka huu kwenye vyombo vya habari na majukwaa mbalimbali

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • VIJANA WAASWA KUFANYA BIDII KATIKA KUYAFIKIA MALENGO NA NDOTO ZAO

    July 08, 2025
  • HEKIMA ZA WAZEE KUSAIDIA KUDUMISHA AMANI YA NCHI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

    July 08, 2025
  • RC SENYAMULE AZINDUA NYUMBA YA MWALIMU YA 02 KWA 01 KONDOA

    July 01, 2025
  • RAIS DKT. SAMIA ASISITIZA KUIMARISHWA KWA KILIMO ILI KUJIHAKIKISHIA USALAMA WA CHAKULA

    June 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.