• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

CCM YAHITIMISHA KAMPENI ZAKE KATIKA KATA YA MRIJO - CHEMBA

Imetumwa : November 26th, 2024

Na. Hellen M. Minja,

       Ha sobari – DODOMA RS

Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, leo Novemba 26, 2024, kimehitimisha rasmi kampeni zake kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 katika viwanja vya Kata ya Mrijo, Wilaya ya Chemba.

Akizungumza na wananchi wa Kata hiyo wakati wa zoezi la kufunga Kampeni hizo, Katibu wa NEC Oganaizesheni Ndugu Issa Gavu, aliyekuwa mgeni rasmi amesema;

“Lazima tutulie sana na tufanye maamuzi yenye faraja na manufaa kwa ajili ya vizazi vyetu. Jukumu letu kwenu ni kuhitaji amani upendo na utulivu, jukumu la kuleta maendeleo tunalipenda. Chama chetu kina amini jukumu la uongozi ni kuwatumikia wananchi na si mtu mwenyewe” Ndugu Gavu

Akitoa takwimu za idadi ya wagombea waliojitokeza na waliopitishwa na Chama hicho wakati wa mchakato wa kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali, Katibu wa CCM Mkoa Ndugu Pili Mbanga amesema;

“CCM ilipata wagombea 29,447 ambapo wanaume ni 20,875 na wanawake ni 8,572. Jumla ya wanachama walioteuliwa kugombea nafasi mbalimbali ni 17,527 huku wanawake walioteuliwa katika mitaa na vijiji ni 44 huku jumla ya walichaguliwa katika vitongoji ikiwa 397. Vijana waliojitokeza kugombea nafasi ni 621. Mkoa unaendelea kusimamia ilani ya uchaguzi ikiwa ni pamoja na kutoa huduma bora kwa wananchi” Ndugu Mbanga

Mbunge wa jimbo la Chemba Mhe. Mohamed Moni, amesema Kata ya Mrijo ndiyo imepata fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwemo elimu na afya.

“Katika Kata iliyopata fedha nyingi kutoka Serikali kuu lakini pia katika mapato ya ndani ni Kata ya Mrijo. Tumepokea zaidi ya Bilioni 3 kwenye elimu ikiwa ni pamoja na ujenzi wa shule mpya ya sekondari iliyogharimu Shilingi MIlioni 540, zaidi ya shilingi Milioni 140 kukarabati shule ya zamani pamoja na shule 2 mpya za msingi. Tumepata Zahanati mpya mbili (2)” Mhe. Moni

Kadhalika, Katibu Mkuu UWT Ndugu Suzan Kunambi, ametoa hamasa kwa wanawake kujitokeza kwa wiki wakiambatana na familia zao siku ya Jumatano Novemba 27, kupiga kura za ndio kwa chama cha Mapinduzi kwani ndicho chenye kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi.

“Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze Kushiriki Uchaguzi”


#kurayakosautiyako              

#ujanjanikupigakura              

#dodomatukotayarikupigakura

#mtiwangubirthdayyangu

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATANZANIA WATAKIWA KUILINDA NA KUIDUMISHA AMANI NI KURUHUSU MAENDELEO NCHINI

    May 15, 2025
  • MKURUGENZI WA ‘WATER FOR PEOPLE ‘ AMTEMBELEA RAS MMUYA

    May 16, 2025
  • WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WAASWA SAFARI YA ELIMU BADO NI NDEFU

    May 17, 2025
  • RC SENYAMULE AZUNGUMZA NA MAKUNDI MBALIMBALI MKOANI KWAKE

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.