• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

FANYENI TATHMINI YA MAZINGIRA KILA ROBO MWAKA -GUGU

Imetumwa : October 23rd, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Ally Gugu ameyataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO's) yanayojihusisha na masuala ya Mazingira kukutana na kufanya tathmini ya namna Utunzaji Mazingira unavyotekelezwa Jijini Dodoma kwa kila robo ya Mwaka wa Fedha.

Bw. Gugu amesema hayo leo Oktoba 23, 2023 katika kikao kazi cha Utunzaji wa Mazingira kwa mashirika hayo yaliyopo Mkoani Dodoma kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Jengo la Mkapa.

"Sisi viongozi wa Dodoma hatutofautiani na ninyi ndio maana tunapongeza juhudi za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Serikali yake kwakuwa karibu sana na Taasisi ambazo ziko nje ya Serikali kwasababu mnao mchango mkubwa katika kuyalinda Mazingira yetu.

Mkutano huu ni fursa ya kutambuana na kujua shughuli zinazofanywa na kila mmoja wetu. Tutakuwa tukikutana kila robo ya Mwaka wa Fedha ili kuweza kujadiliana na kufanya tathmini ya kazi zinazofanyika kwenye Mkoa"

Aidha Bw. Gugu amewaasa wadau mbalimbali wa Mazingira Mkoani humo kushirikiana kwa kuwa dhamira ya taasisi hizo ni kuhakikisha Mazingira yanatunzwa na kuhifadhiwa vizuri.

Naye Mwenyekiti wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Bi. Mwantumu Mahiza amewasisitiza viongozi wa taasisi hizo kuzigeuza taka kuwa malighafi kwa kutumia Teknolojia tofauti tofauti zilizopo ndani ya nchi.

Kikao kazi hicho kimezihusisha mashirika hayo yasiyo ya kiserikali yanayojihusisha na Utunzaji na Usafi wa mazingira kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dodoma huku lengo kuu likiwa ni kujadili na kuweka mikakati inayohusiana na Mazingira hususani katika Makao makuu ya nchi.

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATANZANIA WATAKIWA KUILINDA NA KUIDUMISHA AMANI NI KURUHUSU MAENDELEO NCHINI

    May 15, 2025
  • MKURUGENZI WA ‘WATER FOR PEOPLE ‘ AMTEMBELEA RAS MMUYA

    May 16, 2025
  • WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WAASWA SAFARI YA ELIMU BADO NI NDEFU

    May 17, 2025
  • RC SENYAMULE AZUNGUMZA NA MAKUNDI MBALIMBALI MKOANI KWAKE

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.