• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAJALIWA AMEKAGUA UJENZI WA MAJENGO YA WIZARA

Imetumwa : July 4th, 2023

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa amewaagiza makatibu wakuu kukaa ili kuweze kujua sababu zaVigae vya chini (tires) za ndani hazitumiki mpaka wakandarasi wanaosimamia ujenzi wa majengo ya wizara wanaziagiza kutoka nje ya nchi.

Waziri mkuu ametoa agizo hilo leo Julai 3,2023 Jijini Dodoma wakati akikagua mradi wa ujenzi wa majengo ya ofisi za wizara na taasisi katika mji wa serikali Mtumba.

Amesema vipo viwanda vingi vya utengenezaji wa vifaa hivyo nchni maeneo ya Mkulanga, Chalinze na Mbagara hivyo ni lazima wajitahidi kutumia bidhaa za ndani ili kuongeza mzunguko wa fedha, dola wanayo ipeleka nje iweze kubakia.

“Tulitarajia viwanda vya ndani ndivyo vinapata haya malipo, watu wa TBS wamekataa bidhaa zetu? Wakatudhibitishia hizo za Uturuki na Ujerumani kwanza tunapoteza muda mwingi kusubulia bidhaa kutoka nje ya nchi tulitegemea viwanda vya ndani ndo viwe vianapata haya malipo, ”amesema Majaliwa.

Majaliwa amesema kama wanaona bidhaa zinazo zalishwa hazina ubora wawaambie waongeze ubora kuliko kuwaacha wanazalisha lakini hazitumiki na haziuziki ndani ya nchi, maana ya uwekezaji ambao Rais anautaka na unaonekana pamoja na kuwatia matumani wakiwekeza faida itapatikana.

Akitoa tadhmini kuhusu ujenzi wa maradi Waziri Mkuu amesema kazi zinaendelea vizuri, hivyo hawana budi kufuta mbinu sahihi ya kukamilisha ujenzi wa majengo na moja kati ya mbinu rahisi ni kufanya kazi usiku na mchana, pamoja na kuongeza wafanyakazi na kupeana zamu za usimamizi.

“Wakandarasi ndiyo wenye majukumu ya kusimamia kazi kufanyika usiku na mchana, simamieni ujenzi wa majengo ili muhakakikishe unakamilika kwa kiwango bora zaidi kinachohtajika ili magorofa yasije kuporomoka,”amesema.

Naye, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama amesema mbali na mradi wa ujenzi wa majengo ya wizara pia mradi mwingine unaotekelezwa katika eneo hilo ni ujenzi wa uwanja wa Mashujaa ambao utakuwa na mnara utakaoongoza kwa urefu barani Afrika. Mnara huo utakuwa na urefu wa mita 110.

Awali, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Dkt. Jim Yonazi alisema watahakikisha wanasimamia kikamilifu ujenzi wa mradi huo ili ukamilike kwa wakati na kwa viwango vinavyostahili. “Ifikapo Septemba 30, 2023 mradi huo utakuwa umekamilika.”

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATANZANIA WATAKIWA KUILINDA NA KUIDUMISHA AMANI NI KURUHUSU MAENDELEO NCHINI

    May 15, 2025
  • MKURUGENZI WA ‘WATER FOR PEOPLE ‘ AMTEMBELEA RAS MMUYA

    May 16, 2025
  • WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WAASWA SAFARI YA ELIMU BADO NI NDEFU

    May 17, 2025
  • RC SENYAMULE AZUNGUMZA NA MAKUNDI MBALIMBALI MKOANI KWAKE

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.