• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NBC DODOMA MARATHON 2024 KUSAIDIA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Imetumwa : July 26th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule, amefanya Mkutano na waadishi wa habari kwenye ofisi yake iliyopo jengo la Mkapa Jijini Dodoma kuutangazia umma kuhusu mbio za NBC Marathon zinazotarajiwa kufanyika siku ya Jumapili, tarehe 28 Julai 2024.

Katika Mkutano huo, Mhe. Senyamule amebainisha lengo la mbio hizo ambazo zinatarajia kushirikisha takribani watu elfu kumi na mbili watakaoingia katika Mkoa wa Dodoma.

“Lengo kuu la mbio hizi ni kukusanya fedha ili kusaidia mapambano dhidi ya Saratani ya shingo ya kizazi kwa wanawake nchini pamoja na ufadhili wa masomo kwa wakunga kwa kupitia taasisi ya Bebjamini Mkapa. Saratani ya shingo ya kizazi ndio inayoongoza kwa kuchangia vifo zaidi vya wanawake.” Rc Senyamule

Aidha, amesema kuwa mbio hizo zitaleta fursa za kiuchumi katika mkoa wa Dodoma kwani idadi hiyo ya watu itahitaji malazi, chakula, mavazi, vinywaji na usafiri hivyo, ametoa wito kwa wananchi kuchangamkia fursa hiyo.

“Nichukue fursa hii kuwashawishi wananchi wa Dodoma kuchangamkia fursa hii kwa kuweka biashara zao tayari na kuhakikisha wanatoa huduma stahiki na hivyo kujiongezea vipato vyao. Wageni wetu watahitaji huduma zote za kijami na sisi kama wenyeji ni lazima tujipange vilivyo” Ameongeza Mhe. Senyamule.

Mbio za NBC Dodoma Marathon zinafanyika kwa mara ya tano mwaka huu katika uwanja wa Jamhuri kwa ushirikiano na Vodacom Tanzania ambao ndio wadhamini wakuu. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na zinatarajiwa kuwa hadi Km 21.


#dodomafahariyawatanzania#keroyakowajibuwangu

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATANZANIA WATAKIWA KUILINDA NA KUIDUMISHA AMANI NI KURUHUSU MAENDELEO NCHINI

    May 15, 2025
  • MKURUGENZI WA ‘WATER FOR PEOPLE ‘ AMTEMBELEA RAS MMUYA

    May 16, 2025
  • WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WAASWA SAFARI YA ELIMU BADO NI NDEFU

    May 17, 2025
  • RC SENYAMULE AZUNGUMZA NA MAKUNDI MBALIMBALI MKOANI KWAKE

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.