• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SENYAMULE AMEZINDUA KITABU CHA ASKOFU IPAGALA

Imetumwa : July 30th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye amani duniani kutokana  na maono na utashi wa viongozi wakuu wa nchi.

Akizungumza katika Ibaada ya shukrani na uzinduzi wa Kitabu cha Askofu Evance Chande wa Kanisa la Kalmel Assemblies of God Ipagala Dodoma leo Julai 30, 2023, Senyamule ametoa rai kwa jamii kuenzi na kudumisha amani iliyopo. 

"Viongozi wetu Wakuu wanadhamira njema sana kwa ajili ya watanzania kupitia maneno na vitendo vyao, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi jasiri na mwenye upendo mkubwa, ameweza kuendeleza miradi ya kimkakati ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Reli ya Kisasa na Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere" Senyamule amesisitiza.

Amesema Mkoa wa dodoma una mengi ya kujivunia ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Mji wa Serikali, Ujenzi wa Makao Makuu ya Mahakama na Ujenzi wa barabara za Mzunguko

Senyamule amesisitiza kuwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anagusa maisha ya mtu mmoja moja kwakuwa %60-70 ya watanzania ni wakulima hivyo katika sekta ya kilimo yamefanyika mapinduzi ya kilimo, elimu kuanzia elimu ya awali mpaka elimu ya juu, ujenzi na miundombinu ya Afya ikiwa ni pamoja na ujenzi wa hospitali.

Senyamule akizundua kitabu cha Askofu Chande Senyamule ametoa rai kwa watanzania kuwa na utaratibu wa kusoma vitabu kwakuwa maarifa pia yanapatikana katika vitabu.

Kwa upande wake Askofu Chande amesema Serikali imewekeza miundombinu ya kisasa katika sekta ya afya hivyo watanzania wana kila sababu ya kujivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya muda mfupi. 

Askofu Dkt. Evance Chande amefanya ibaada ya shukrani ya Miaka 35 ya utumishi na uzinduzi wa Kitabu chake alichokiita "Ijue nguvu iliyomo katika kusifu na kuabudu" hususan katika zama hizi utandawazi.

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATANZANIA WATAKIWA KUILINDA NA KUIDUMISHA AMANI NI KURUHUSU MAENDELEO NCHINI

    May 15, 2025
  • MKURUGENZI WA ‘WATER FOR PEOPLE ‘ AMTEMBELEA RAS MMUYA

    May 16, 2025
  • WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WAASWA SAFARI YA ELIMU BADO NI NDEFU

    May 17, 2025
  • RC SENYAMULE AZUNGUMZA NA MAKUNDI MBALIMBALI MKOANI KWAKE

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.