• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI WATAKIWA KUZINGATIA UTAWALA BORA NA DEMOKRASIA

Imetumwa : April 25th, 2025

Na; Happiness E. Chindiye

      Habari - Dodoma Rs

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara Ndugu, Stephen Wasira ametoa wito kwa viongozi wa vyama vya Siasa Nchini kuheshimu Misingi ya Utawala bora na Demokrasia ikiwa ni pamoja na kutoingilia mienendo ya Mashauri yaliyo kwenye vyombo vya dola ili kuruhusu haki kutendeka kwa uhuru.

Wasira ametoa wito huo jijini Dodoma Leo Aprili 25,2025 wakati akizungumza na wanachama na wananchi katika mkutano wa hadhara ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi inayotekelezwa na Serikali kupitia Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020/25.

“Viongozi wa siasa heshimuni utawala na demokrasia ili kusaidia vyombo vya dola kufanya maamzi kwa uhuru”. Wasira

Naye ,Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule ameeleza kuhusu utatuzi wa changamoto zinazowakabili wananchi ikiwamo kero ya Maji katika jiji la Dodoma.

Katika ziara hii Makamu Mwenyekiti wa CCM bara Stephen Wasira Jijini Dodoma ametembelea miradi ya miundombinu ya Afya, Kituo cha Afya Ilazo na kiwanja cha ndege cha Kimataifa Msalato pamoja na kupanda mti Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Dodoma ikiwa ni kuunga mkono kampeni ya kukijanisha Dodoma.


&&&


#keroyakowajibuwangu

#dodomafahariyawatanzania

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATANZANIA WATAKIWA KUILINDA NA KUIDUMISHA AMANI NI KURUHUSU MAENDELEO NCHINI

    May 15, 2025
  • MKURUGENZI WA ‘WATER FOR PEOPLE ‘ AMTEMBELEA RAS MMUYA

    May 16, 2025
  • WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WAASWA SAFARI YA ELIMU BADO NI NDEFU

    May 17, 2025
  • RC SENYAMULE AZUNGUMZA NA MAKUNDI MBALIMBALI MKOANI KWAKE

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.