• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HOSPITALI YA CHUO KIKUU CHA DODOMA KUANZA KUTOA MATIBABU YA CORONA, UDOM KUANZA KUZALISHA VITAKASA MIKONO NA BARAKOA

Imetumwa : April 23rd, 2020

Uongozi wa Serikali ya Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma - UDOM umeiteua hospitali ya Chuo Kikuu cha Dodoma kuanza kutumika kutoa huduma za matibabu kwa Wagonjwa wa Corona.
 

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa chini ya Mwenyekiti wake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Mahenge kwa kushirikiana na timu ya wataalamu wa Afya wa Mkoa wa Dodoma na uongozi wa UDOM imefanya ziara ya kukagua hospitali ya Chuo hicho na kujiridhisha kuwa itasaidia kuboresha na kuimarisha utoaji huduma kwa wagonjwa watakaothibitika kuugua Corona.

Katika hatua nyingine, Chuo Kikuu cha Dodoma - UDOM kupitia wataalamu wake, kimeanza kutengeneza Barakoa na Vitakasa mikono (hand sanitizer) kwa lengo la kuongeza nguvu na mchango wa Chuo hiko katika kusaidia kupambana na maambukizi ya Virusi vya homa kali ya mapafu (COVID 19) hapa nchini.

 

Makamu Mkuu wa Chuo hicho Profesa Faustine Bee amemwambia Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge aliyeambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dodoma kuwa, Chuo hicho kitaanza kusambaza vifaa hivyo kwa wingi na kwa gharama nafuu ambayo watu na Taasisi wataimudu.

"Kama chuo tumeona tusaidie katika mapambano haya,tutazalisha barakoa na vitakasa mikono kwa bei nafuu" alisema Mkuu huyo wa chuo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SENYAMULE AZINDUA NYUMBA YA MWALIMU YA 02 KWA 01 KONDOA

    July 01, 2025
  • RAIS DKT. SAMIA ASISITIZA KUIMARISHWA KWA KILIMO ILI KUJIHAKIKISHIA USALAMA WA CHAKULA

    June 28, 2025
  • SERIKALI IMEJIZATITI KULETA MAENDELEO KWA KUIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA BIASHARA

    June 25, 2025
  • TANZANIA SIYO SALAMA KWA WAUZAJI , WASAFIRISHA, WALIMAJI NA WATUMIAJI WA DAWA ZA KULEVYA” - MHE. MAJALIWA

    June 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.