• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TANZANIA SIYO SALAMA KWA WAUZAJI , WASAFIRISHA, WALIMAJI NA WATUMIAJI WA DAWA ZA KULEVYA” - MHE. MAJALIWA

Imetumwa : June 26th, 2025

Na. Hellen M. Minja

       Habari – DODOMA RS

Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alipokua akihutubia hadhira iliyojitokeza kwenye kilele cha Maadhimisho ya siku ya kupiga vita matumizi na biashara ya dawa za kulevya Duniani kwa niaba ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Juni 26, 2025 katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.

“Tanzania sio mahali salama kwa wauzaji, wasafirishaji, walimaji n ahata watumiaji wa dawa za kulevya, Tanzania tumeiva na sasa tunaenda kukomesha biashara. Makamishna na Wakuu wa vyombo vya ulinzi, fanyeni kazi, imarisheni ulinzi iwe ni kwenye SGR, vituo vya mabasi, Bandari na Viwanja vya Ndege,mipakani, ili tuweze kuokoa vijana wetu. Dawa hizi zina madhara makubwa kwani zinapoteza uwezo wa mwili na akili”. Mhe. Majaliwa.

Aidha, Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na Dawa za kulevya (DCEA), Bw. Aretas Lymo, amesema katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya Sita, kiasi kikubwa cha dawa za kulevya kimekamatwa ambapo ni jumla ya kilogram 2,301,411.94 ikilinganishwa na kilogram 2,005,542.73 zilizokamatwa katika awamu zilizopita.

Akitoa salam za Mkoa, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, amesema Mkoa wake unaendelea na mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa kushirikiana na Mamlaka yenye dhamana (DCEA) kwa kufanya oparesheni mbalimbali.

“Tumefanya nao oparesheni kuanzia Julai 2022 mpaka Mei 2025 ambapo tumekamata kilogramu 4335 za Bangi, kilogramu 873 za mirungi na katika kilo hizo, Watuhumiwa 828 wamehusika na kwa kushirikiana nao, tumeweza kudhibiti kwa kuchoma mashamba 645 ya Bangi pia tumetoa elimu inayohusu dawa za kulevya kwa wananchi 136,000”.

 Mwezi Juni kila mwaka, Dunia huadhimisha siku ya Kupiga vita dawa za kulevya, Maadhimisho ambayo hufanyika kwa siku tatu mfululizo (24, 25 na 26) kwa kuhusisha matukio mbalimbali yanayolenga kutoa elimu juu ya madhara ya biashara na matumizi ya dawa hizo hasa kwa rika la vijana ambao ndio nguvu kazi ya Taifa.


#dodomafahariyawatanzania

#wekezadodomastawishadodoma

#keroyakowajibuwangu

#mtiwangubirthdayyangu

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI IMEJIZATITI KULETA MAENDELEO KWA KUIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA BIASHARA

    June 25, 2025
  • TANZANIA SIYO SALAMA KWA WAUZAJI , WASAFIRISHA, WALIMAJI NA WATUMIAJI WA DAWA ZA KULEVYA” - MHE. MAJALIWA

    June 26, 2025
  • SHUGHULI ZA KIBINADAMU ZATAJWA KUWA TISHIO KWA CHANZO CHA MAJI BONDE LA MAKUTUPORA JIJINI DODOMA

    June 25, 2025
  • VODACOM TANZANIA KUPANDISHA HADHI MINARA YAO KUIMARISHA MAWASILIANO DODOMA

    June 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.