• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

“DODOMA YAPO MADINI YA KUTOSHA “ - RC SENYAMULE

Imetumwa : February 16th, 2025

Na Sofia Remmi.

Habari-Dodoma Rs.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameyasema hayo mara baada ya kutembelea kiwanda cha Kuchenjua Mawe ya Shaba kwenda Kwenye Shaba halisi.

Ziara hiyo iliyofanyika leo tarehe 16 Februari 2025 katika Mtaa wa Nala, Kata ya Nala, iliandaliwa na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde.

Akizungumza mara baada ya kutembelea kiwanda hicho Mhe. Senyamule Amesema tunaendelea kufurahi kuona mambo mazuri yanayoendelea kutokea katika Mkoa wetu kwa kuongezeka kiwanda ambacho vijana wengi watanufaika nacho.

“Hii ni moja ya fursa ambayo vijana wengi watanufaika nayo kwa kupata ajira katika kiwanda hiki hivyo niendelee kupongeza Jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama yetu hodari Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan”

“Madini ni kitu cha Mkakati Katika Mkoa wetu na yanazidi kuongezeka kwa wingi zaidi na Kuzidi kuifaharisha dodoma kwa kuwajali wawekezaji ambao wanaendelea Kuja na tunazidi kuwapokea maana bado Mkoa una madini Mengi na unahitaji wawekezaji wa viwanda kama hawa wa kampuni ya Shengde precious Metal LTD” Amesema Senyamule.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Abia Mosses Mafie amesema kuongeza thamani ya madini kwa kuzalisha copper cathode ulianza rasmi tarehe 28 Novemba 2024. Tangu kuanza kwake, Mradi umefanikiwa hatua kadhaa muhimu hadi kufikia tarehe 15 Februari 2025, ndani ya kipindi cha siku 80.

Tangu kuanza kwa mradi huu, jumla ya shilingi milioni 160 za Kitanzania zimetumika. Bajeti inayokadiriwa kwa mradi mzima ni Dola za Kimarekani milioni 1.2. ambayo ni sawa na Bilioni 3.


#dodomafahariyawatanzania

#keroyakowajibuwangu.

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA ‘ DIPLOMATIC CAPITAL CITY TOUR’ YAIVA

    May 08, 2025
  • DODOMA YADHAMIRIA KUJIKITA KWENYE KILIMO CHA MATUFAHA (APPLES) KUINUA UCHUMI

    May 08, 2025
  • MAAFISA MAZINGIRA WAPEWA HEKO NA RAS MMUYA

    May 06, 2025
  • RAS MMUYA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA MAAFISA UTUMISHI MKOA WA DODOMA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.