• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VODACOM TANZANIA KUPANDISHA HADHI MINARA YAO KUIMARISHA MAWASILIANO DODOMA

Imetumwa : June 25th, 2025

Na. Hellen M. Minja

       Habari – DODOMA RS

Kampuni ya mawasiliano ya simu Vodacom ipo kwenye Mpango wa kuifanyia ukarabati minara yake zaidi ya 50 iliyopo Jijini Dodoma kwa kuipandisha kutoka 3G kwenda 4G na 5G kwa lengo la kuimarisha mawasiliano kutokana na changamoto za kimawasiliano kwenye maeneo yenye minara ya 3G.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Kanda Vodacom Bi. Chiha Nchimbi alipotambulishwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule leo Juni 25 Jijini Dodoma ambapo aliambatana na Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasiliano ya Nje Vodacom Bi. Zuwena Farah.

Bi. Nchimbi amesema kuwa zoezi hilo limekuja katika wiki hii ambayo Kampuni hiyo inaadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwake, ambapo wameandaa msafara wa magari yanayo zunguka kwenye Mikoa ya Kanda ya Kati kwa lengo la kukutana na wateja wao na kutoa zawadi mbalimbali.

Sambamba na hilo, msafara huo unaambatana na matukio kadhaa kama vile huduma ya kuuza simu za kupangusa kwa bei ya punguzo, mafunzo kwa Mawakala wa huduma za kifedha (M-Pesa) juu ya mbinu za kufanya biashara kwa kuvutia wateja pamoja na uzinduzi wa minara mipya iliyojengwa kwenye maeneo ya Hombolo na Wilaya ya Mpwapwa.

Mkuu wa Mkoa amemkaribisha Bi. Nchimbi na kuipongeza Kampuni hiyo kwa kuendelea kuboresha huduma kwa wateja wao kwani amekua akipokea taarifa juu ya changamoto ya mawasiliano ya Kampuni hiyo kwenye baadhi ya maeneo hivyo kupitia wiki hii, anaamini changamoto hiyo inakwenda kupatiwa ufumbuzi.


#dodomafahariyawatanzania

#wekezadodomastawishadodoma

#keroyakowajibuwangu

#mtiwangubirhdayyangu

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI IMEJIZATITI KULETA MAENDELEO KWA KUIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA BIASHARA

    June 25, 2025
  • TANZANIA SIYO SALAMA KWA WAUZAJI , WASAFIRISHA, WALIMAJI NA WATUMIAJI WA DAWA ZA KULEVYA” - MHE. MAJALIWA

    June 26, 2025
  • SHUGHULI ZA KIBINADAMU ZATAJWA KUWA TISHIO KWA CHANZO CHA MAJI BONDE LA MAKUTUPORA JIJINI DODOMA

    June 25, 2025
  • VODACOM TANZANIA KUPANDISHA HADHI MINARA YAO KUIMARISHA MAWASILIANO DODOMA

    June 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.