• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WASIOPANDA MITI KWENYE MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA

Imetumwa : December 30th, 2022

WASIOPANDA MITI KWENYE MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na wadau wa mazingira, leo tarehe 30 Desemba 2022, imetangaza kampeni maalumu ya upandaji miti katika Mkoa wa Dodoma lengo hasa likiwa ni kutimiza lengo la kampeni ya kuikijani Dodoma.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule alipokua akizungumza na waandishi wa Habari kwenye ukumbi uliopo kwenye jengo la Mkapa, ofisini kwake.

“Sote tunafahamu kuwa msimu wa mvua umeanza hivyo, ni wakati sahihi kwa wananchi na wakazi wote wa Dodoma kutekeleza kwa vitendo Kampeni ya upandaji miti kuanzia ngazi ya Kaya, Kata, Vijiji, Vitongoji  hadi ngazi ya Taasisi na msisitizo wa mwaka huu ni kwamba miti yote itakayopandwa hakikisheni inakua na kustawi vizuri” Amesisitiza Mhe. Senyamule

Kadhalika, Mkuu wa Mkoa amezitaja baadhi ya faida za uwepo wa miti ya kutosha katika mazingira yetu na Mkoa kwa ujumla kuwa ina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi na jamii kwa ujumla kwani misitu inatoa asilimia 45 ya malighafi za ujenzi, hunyonya hewa ukaa, hutupatia hewa safi, kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji na pia huchangia ongezeko la pato la Taifa.

“Ninafahamu wenzetu wakala wa misitu TFS wamezalisha miche ya miti ya kutosha pale katika kitalu cha miti eneo la Mailimbili na miche hiiinagawiwa bure, hivyo natoa rai kwa wanadodoma kufika pale kuchukua miche ya miti na kupanda katika maeneo yenu. Tutapita kukagua kila nyumba na kuona miti mitano iliyopandwa na wale wasiopanda watachukuliwa hatua kwa kuwa hii ni sehemu yasheria ndogo tulizonazo kwenye Halmashauri” Ameongeza Mh. Senyamule

Kampeni ya upandaji miti Mkoa wa Dodoma inayotarajiwa kuanza Desema 31hadi msimu wa mvua utakapokwisha, imelenga Halmashauri zote nane za Mkoa kwani lengo kuu la Mkoa ni kila Halmashauri kupanda miti 1,500,000 kwa mwaka licha ya baadhi ya maeneo kupewa kipaombele kama eneo la Ihumwa kwenye chanzo cha maji cha DUWASA na katika bonde la Mzakwe.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 January 15, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 SHULE ZA BWENI (WASICHANA NA WANAUME) . December 20, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KATIBU TAWALA SINGIDA AKABIDHI OFISI KWA KATIBU TAWALA DODOMA

    March 23, 2023
  • MACHINGA DODOMA WAMPONGEZA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

    March 23, 2023
  • KIWANDA CHA AINA YAKE KUJENGWA KONGWA

    March 17, 2023
  • WAFANYAKAZI WAASWA MSHIKAMANO MAHALA PA KAZI

    March 15, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Mkoa akiongoza siku ya maombi jijini Dodoma
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.