• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UJUMBE WA MAJESHI KUTOKA AFRIKA MASHARIKI NA SADC WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA DODOMA

Imetumwa : October 14th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana leo Oktoba 14, 2017 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa maafisa wa kijeshi 32 kutoka Majeshi ya nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika ambao wapo hapa nchini kuhudhuria mafunzo ya ukamanda na unadhimu kwenye chuo cha ukamanda na unadhimu cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania kilichopo Duluti Mkoani Arusha.

Ujumbe huo uliojumuisha maafisa kutoka Majeshi ya Ulinzi ya nchi za Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia, Zimbabwe na wenyeji Tanzania, ulitembelea Mkoa wa Dodoma Makao Makuu ya nchi kujionea na kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu uchumi, Mazingira, Ulinzi, Usalama na maendeleo kwa ujumla.

Katika Mazungumzo yao, Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Rugimbana amewataka maafisa hao wa Majeshi kudumisha Umoja, Ushirikiano na Mshikamano baina ya nchi za Afrika, Tunu ambazo zililetwa na Waasisi wa Mataifa ya Afrika. Pia aliwataka Maafisa hao wa Majeshi kuendelea kuwa Wazalendo kwa kuzilinda nchi zao ili Afrika izidi kupiga hatua za maendeleo katika Nyanja mbalimbali.

Ujumbe huo ulipongeza uamuzi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli wa kuihamishia Serikali Mkoani Dodoma na kusema kuwa kijiografia Dodoma kuwa katikati ya nchi kunaiwezesha Serikali kuwahudumia Watanzania kwa urahisi zaidi na hata kupelekea urahisi wa Watanzania kutoka Mikoa yote kufuata huduma mbalimbali za kiserikali Dodoma.

Luteni Kanali Katebe kutoka Zambia alimwelezea Mkuu wa Mkoa kuwa uamuzi wa Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli wa kuihamishia Serikali Mkoani Dodoma wao wanautazama kama moja ya mambo yatakayoongeza fursa kubwa za kiuchumi na kuchochea maendeleo kwenye ukanda mzima wa kati wa nchi ya Tanzania.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 January 15, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 SHULE ZA BWENI (WASICHANA NA WANAUME) . December 20, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SENYAMULE AAGIZA UJENZI WA MADARASA KUKAMILIKA KWA WAKATI

    May 29, 2023
  • CHEMBA WAASWA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA

    May 27, 2023
  • GUGU AKUTANA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA CAMBRIDGE

    May 23, 2023
  • SENYAMULE AZINDUA JUKWAA LA PILI LA VYAMA VYA USHIRIKA

    May 19, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Mkoa akiongoza siku ya maombi jijini Dodoma
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.