• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DODOMA YAMALIZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025 NA KUUKABIDHI IRINGA

Imetumwa : April 28th, 2025

Na. Hellen M. Minja

       Habari – DODOMA RS

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, leo Aprili 28, 2025 amekabidhi Mwenge wa Uhuru 2025 rasmi kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba baada ya kukimbizwa kwa KM 1333 kwenye Wilaya zote saba (7) na Halmashauri nane (8) za Mkoa huu kuanzia Aprili 20 hadi 27 ulipokamilisha Mbio zake.

Akizungumza na hadhara iliyojitokeza katika makabidhiano hayo yaliyofanyika kwenye Kijiji cha Makatapora Wilaya ya Iringa, Mhe. Senyamule amesema miradi yote iliyochaguliwa imepitiwa na Mwenge huo.

“Katika Mkoa wetu, Mwenge wa Uhuru umeweza kutembelea miradi 56 yenye thamani ya Shilingi Bilioni 61.1 Nami nakiri kwa kusema, katika Mkoa wa Dodoma miradi yote imepitiwa, kukaguliwa, kuwekewa mawe ya msingi, kutembelewa na tumepata ‘clean sheet’.”

Mhe. Senyamule ameongeza kuwa, wakati wa mbio hizo Mkoani hapa, wameweza kufanya mazoezi ya kupima Virusi vya Ukimwi, kuchangia damu na magonjwa mengine na yote yamedhihirisha kuwa, Dodoma kwenye Malaria ipo vizuri, maambukizi ya Ukimwi yapo chini na maelekezo yote yaliyotolewa na Kingozi wa mbio hizo yanafanyiwa kazi.

Kadhalika, kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Kitaifa ndugu Ismail Ali Ussi, ametaja mambo muhimu ya kuzingatia kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba pindi Mwenge utakapokua unapita kwenye maeneo ya miradi ndani ya Mkoa wake.

“Halmashauri na Wilaya zote ziandae taarifa za miradi ambazo tutaziweka kwenye magari yetu na wakufunzi, waandae vifaa vyote ambavyo vitatumika kupimia ubora wa miradi ambayo tutapitia ili iweze kutuonesha kama ni ya kukagua, kuzindua ama kuweka mawe ya msingi, nyaraka, taarifa na wataalamu tuwakute katika maeneo yote”. Ndugu Ismail Ussi.


#dodomafahariyawatanzania

#keroyakowajibuwangu

#mtiwangubirthdayyangu

#kwaherimwengewauhuru2025mkoawadodoma

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MMUYA AHIMIZA UDHIBITI VIFO VYA MAMA NA MTOTO

    May 26, 2025
  • UHAKIKI ANUANI ZA MAKAZI KUANZA MEI 28 DODOMA

    May 26, 2025
  • WAWEKEZAJI WA VIWANDA KUTOKA DUBAI WABISHA HODI DODOMA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI KUTOKA TUME YA MADINI WAMTEMBELEA RAS MMUYA

    May 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.