• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KLABU YA MAZINGIRA PALACE SCHOOL YAMTEMBELEA RC SENYAMULE.

Imetumwa : January 27th, 2025

Na. Hellen M. Minja,

       Habari – DODOMA RS

Wanafunzi wa klabu ya mazingira kutoka shule ya msingi Palace ya Jijini Dar es Salaam, leo Januari 27, 2025, wamemtembelea Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ofisini kwake Jengo la Mkapa JIjini Dodoma kwa lengo la kumpongeza kwa jitihada zake za kutunza mazingira kwa kupanda miti, hususan kwenye kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Rais wa Tanzania.

Mhe. Senyamule amewaelezea wanafunzi hao dhamira ya Mkoa wa Dodoma kuenzi kampeni ya kupanda miti kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi pia kufuta historia ya ukame iliyokua katika Mkoa huu kwa miaka mingi.

“Mabadiliko ya tabia nchi yanatutaka tuhakikishe tunarudisha uoto wa asili na hali ya hewa nzuri ili maisha mazuri yaendelee. Tunao wajibu wa kurekebisha mabadiliko ya tabia nchi lakini kubwa ni suala la kupanda miti, na nyinyi mmekuja na ajenda hiyo hiyo. Tunaamini baada ya muda mfupi, Dodoma itakua tu na historia ya ukame”

Wanafunzi hao wakiongozwa na Mkuu wa shule Mwalimu Ferdinand E. Ilungu, wamefika ofisini hapo kuunga mkono jitihada hizo kwani wamekua wakifanya kazi ambayo Mhe. Rais ameipa kipaumbele.

“Tunafanya kazi ambayo Mhe. Rais amekua akiipa kipaumbele hususan kupitia watoto kwenye suala zima la utunzaji mazingira. Watoto hawa kwa Mkoa wa Dar es Salaam wameshafanya kazi ya kupanda miti zaidi ya 4,000. Katika siku maalumu ya Mhe. Rais, tumeona ni vema tukakutembelea kwa maana ya kutambua kazi yako na kukupa pongezi” Amesema Mwl. Ilungu.


#dodomafahariyawatanzania

#keroyakowajibuwangu

#mtiwangubirthdayyangu

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI HODARI 2025 KUTOKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • MRADI WA KUIMARISHA HUDUMA ZA KIFAFA WAZINDULIWA DODOMA

    May 08, 2025
  • UBALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA WAADHIMISHA MAFANIKIO YA MWAKA MMOJA NCHINI

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI YA ‘ DIPLOMATIC CAPITAL CITY TOUR’ YAIVA

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.