• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI NI CHACHU YA MAENDELEO KWA WANANCHI

Imetumwa : August 14th, 2025

Na. Elizabeth S. Dai

 Habari- DODOMA RS

Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yamekua yakichagiza jitihada za Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum Mhe. Dorothy Gwajima ambae amemuwakilisha Mgeni rasmi Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdory Mpango katika Kongamano la mwaka la Mashirika yasiyo ya Kiserikali lililohitimishwa leo Agosti 13, 2025 katika ukumbi wa Jakaya Kikwete uliopo jijini Dodoma.

“Ni ukweli usiopingika kuwa Mashirika yasiyo ya Kiserikali yamekua yakichagiza jitihada za Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo kupitia utekelezaji wa miradi hususani katika sekta ya afya, kilimo, elimu, maji , mazingira, utawala bora, maendeleo ya jamii, miundombinu, mifugo na uvuvi pamoja na sekta nyingine.”

Akitoa salamu za Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inatekeleza majukumu mbalimbali katika kupambana na changamoto za kiuchumi na kijamii kwa lengo la kujenga Taifa bora kwa kuzingatia upatikanaji wa huduma muhimu kwa makundi yote.

Nae Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO), Bw. Jasper Makalla amesisitiza ushirikiano kati ya Mashirika ya Kiserikali, Mashirika yasiyo ya Kiserikali na Sekta Binafsi katika kuleta maendeleo katika jamii.

Kongamano hilo lililobeba kaulimbiu inayosema “Tathmini ya Miaka Mitano ya Mchango wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali katika Maendeleo ya Taifa: Mafanikio, Changamoto, Fursa na Matarajio” limeambatana na uzinduzi wa kitabu cha muongozo pamoja na kamati ya Taifa yenye wajumbe kutoka taasisi mbalimbali ambayo itasimamia kazi zote za Mashirika hayo kwa ushirikiano.


#dodomafahariyawatanzania

#wekezadodomastawishadodoma

#keroyakowajibuwangu

#mtiwangubirthdayyangu

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ASASI ZA KIRAIA ZAPEWA MAFUNZO YA KUZUIA UTAKATISHAJI FEDHA HARAMU NA VITENDO VYA KIGAIDI

    August 14, 2025
  • WAFANYAKAZI WA TANESCO WATAKIWA KUWA MABALOZI WA MATUMIZI YA NISHATI YA UMEME KUPIKIA

    August 14, 2025
  • WAFUGAJI WAASWA KUFUGA KWA KUZINGATIA UWEZO WA MALISHO ILI KUPATA TIJA

    August 13, 2025
  • MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI NI CHACHU YA MAENDELEO KWA WANANCHI

    August 14, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.