• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TBL KUJENGA KIWANDA KIPYA CHA BIA MKOANI DODOMA

Imetumwa : March 19th, 2018

Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) inatarajia kujenga kiwanda kingine cha kuzalisha bia Mkoani Dodoma Makao Makuu ya Nchi ambapo Dola za Marekani Milioni 100 zimetengwa kufanikisha uwekezaji huo.

Hayo yamebainika mapema wiki hii wakati wa mazungumzo baina ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Kanda ya Afrika wa Kampuni ya vinywaji ya AB-INBEV inayomiliki asilimia 57.5 ya hisa za kampuni ya bia Tanzania (TBL) Bw. Ricardo Tadeu yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Bw. Ricardo amethibitisha kuwa uwekezaji wa kiwanda hiko kipya Mkoani Dodoma unakuja kufuatia kuendelea kukua kwa uzalishaji wa TBL kuanzia mwaka 2015 hadi sasa.

“Uwekezaji wa Kiwanda hiko kipya mkoani Dodoma utaongeza ajira kupitia kwa wakulima wanaozalisha mazao ya ngano, Mtama na Mahindi ambayo hutumika kutengenezea vinywaji” alibainisha Bw. Recardo.

Kwa upande wake Rais Magufuli amemhakikishia Bw. Recardo Tadeu kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na TBL na amempongeza kwa uamuzi wake wa kujenga kiwanda cha kuzalisha bia Mkoani Dodoma kitakachoungana na viwanda vingine vilivyopo Dar es Salaam, Mbeya, Mwanza na Arusha.

Mhe. Rais Magufuli ameongeza kuwa Serikali inachukua hatua madhubuti kuvilinda viwanda vya bia na ametoa wito kwa kampuni hiyo na wawekezaji wengine kuendelea kuwekeza hapa nchini kutokana na uwepo wa fursa kubwa ya soko la ndani, Afrika Mashariki na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 January 15, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 SHULE ZA BWENI (WASICHANA NA WANAUME) . December 20, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SENYAMULE AAGIZA UJENZI WA MADARASA KUKAMILIKA KWA WAKATI

    May 29, 2023
  • CHEMBA WAASWA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA

    May 27, 2023
  • GUGU AKUTANA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA CAMBRIDGE

    May 23, 2023
  • SENYAMULE AZINDUA JUKWAA LA PILI LA VYAMA VYA USHIRIKA

    May 19, 2023
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Mkoa akiongoza siku ya maombi jijini Dodoma
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.