• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAKALA WA UMEME VIJIJINI (REA) , KUFIKIA VITONGOJI 150 MKOA WA DODOMA

Imetumwa : October 18th, 2024

Na. Hellen M. Minja,

       Habari - DODOMA RS


Wakala wa Usambazaji Nishati ya Umeme Vijijini (REA) Mkoa wa Dodoma, leo Oktoba 18, 2024 wamemtambulisha Mkandarasi mpya ambaye ni Kampuni ya Kitanzania ya DERM GROUP itakayoshughulika na mpango wa usambazaji umeme kwenye vitongoji 15 vya kila jimbo la Mkoa wa Dodoma.


Akizungumza wakati wa utambulisho huo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule amesema, kupitia mpango huo, Mkoa unakwenda kupata vitongoji zaidi vitakavyofikiwa na huduma ya umeme.


“Mkoa wa Dodoma una majimbo 10, kupitia mpango huo,  vitongoji vipya 150  ambavyo havikua na umeme vinakwenda kufikishiwa umeme. Mpaka sasa vitongoji vinavyohudumiwa na REA vyenye umeme ni 1631 lakini ukiongeza 150, Mkoa utakua na jumla ya vitongoji 1781 vilivyofikiwa na umeme.” Mhe. Senyamule.


Aidha, Msimamizi wa REA Kanda ya kati Bi. Anneth Malingumu, amesema mradi huo ambao utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 18.5 unatarajiwa kunufaisha kaya 4900 pindi utakapokamilika na ametoa rai kwa wananchi kutunza miundombinu yake ili kuepusha gharama za ziada za matengenezo.


Naye, mwakilishi wa Kampuni ya DERM GROUP Bi. Khadija Mukiza, amesema kampuni yake imejipanga kuifanya kazi kwa ufanisi mkubwa kwani mpaka sasa wameshamaliza kufanya usanifu kwenye vitongoji vyote vya mradi. Zoezi linaloendelea ni kupeleka nguzo, na wameingia mkataba wa miezi 24.


#dodomatupotayarikujiandikisha                                          #dodomatwendenitukajiandikishe

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MADEREVA WA SERIKALI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI

    May 17, 2025
  • WATANZANIA WATAKIWA KUILINDA NA KUIDUMISHA AMANI NI KURUHUSU MAENDELEO NCHINI

    May 15, 2025
  • MKURUGENZI WA ‘WATER FOR PEOPLE ‘ AMTEMBELEA RAS MMUYA

    May 16, 2025
  • WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WAASWA SAFARI YA ELIMU BADO NI NDEFU

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.