• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI MKUU WA UGANDA AZURU KIWANDA CHA INTRACOM DODOMA

Imetumwa : January 29th, 2025

Na. Hellen M. Minja,

       Habari – DODOMA RS

Nchi ya Tanzania imetajwa kuwa na ardhi nzuri kwa kilimo na kwa kutumia teknolojia za kisasa, inaweza kuzalisha chakula cha kutosha kulisha Afrika nzima. Hayo yamebainishwa leo Januari 29, 2025 na Waziri Mkuu wa Uganda Mhe. Robinah Nabbanja, alipofanya ziara ya siku moja kutembelea kiwanda cha uzalishaji mbolea cha Itracom kilichopo Nala Jijini Dodoma.

Akizungumza wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika kwenye Hoteli ya Morena Jijini Dodoma mara baada ya kutembelea kiwanda hicho na kujionea namna uzalishaji wa mbolea kwa ajili ya kilimo unavyofanyika.

“Uganda na Tanzania zina bahati ambayo nadhani imetolewa kimkakati na Mwenyezi Mungu na ni lazima tuilishe Dunia. Nimetembelea nchi za kiarabu, watu wake hawana ardhi lakini wanapaswa kuishi. Wana teknolojia ambayo sisi hatuna hivyo, kama tukizalisha vya kutosha, tutalisha nchi za kiarabu,” Mhe. Nabbanja

Waziri Mkuu huyo ameongeza kuwa, Uganda na Tanzania zinatakiwa kufikiria namna zinavyoweza kuboresha uchumi ambao unawezekana kupitia kilimo kwani soko la Uganda limejaa bidhaa za kilimo na ufugaji kutoka Tanzania kwa kuwa sasa zinapitishwa bila kodi hivyo ni wakati muafaka wa kuangalia fursa za masoko ya nje.

Nae, Waziri wa Viwanda na Bishara Mhe. Selemani Jafo amesema ugeni huo unaweka alama ya ushirikiano wa kiuchumi baina ya nchi hizi mbili ambapo urafiki huo unachangia kukuza maendeleo ndani ya umoja wa nchi za Afrika Mashariki na nyingine. Ameongeza kuwa, uzalishaji wa mbolea bora unahakikisha usalama wa chakula, unakukuza kilimo na uchumi kwa ujumla.

Kadhalika, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, amempongeza kiongozi huyo kwa kutembelea Dodoma na kusema;

“Uganda inaweza kunufaika na mbolea inayotengenezwa katika kiwanda cha Itracom kwani kinafanya usambazaji kwenye nchi zote za Afrika Mashariki na pia kuna fursa ya kujifunza matumizi ya mbolea kupitia mashamba darasa yanayopatikana hapa ambayo yanafanya vizuri”. Mhe. Senyamule


#dodomafahariyawatanzania

#keroyakowajibuwangu

#mtiwangubirthdayyangu

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAAFISA MAZINGIRA WAPEWA HEKO NA RAS MMUYA

    May 06, 2025
  • RAS MMUYA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA MAAFISA UTUMISHI MKOA WA DODOMA

    May 05, 2025
  • KAMPUNI YA "CAVO'' YA CHINA YATAFUTA FURSA ZA UWEKEZAJI DODOMA

    May 05, 2025
  • TAWLA - SAUTI YA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKOSA ULINZI WA KISHERIA KATIKA JAMII

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.