• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKURUGENZI MKUU MPYA TAKUKURU AJITAMBULISHA MAKAO MAKUU YA NCHI DODOMA

Imetumwa : January 8th, 2025

Na. Hellen M. Minja,

       Habari – DODOMA RS

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, leo Januari 08, 2025, ametembelewa na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Bw. Fransic Chalamila aliyeteuliwa hivi karibuni, lengo likiwa ni kujitambulisha kwenye ofisi ya Mkoa na Makao Makuu ya Nchi.

Mhe. Senyamule ametumia nafasi hiyo kumpongeza Mkurugenzi huyo kwa kuteuliwa katika nafasi hiyo huku akimtaka kuusaidia Mkoa kwenye usimamizi wa miradi mikubwa ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa ndani ya Makao Makuu kwani bado inaendelea kujengeka.

Aidha Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Kaspar K. Mmuya, ameshukuru ushirikiano wa Taasisi hiyo na Serikali ya Mkoa hasa katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwani Mhe. Rais ametoa fedha nyingi kwayo, hivyo Mkoa una dhamana ya kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa ubora uliokusudiwa.

 Mkurugenzi huyo ametoa shukrani kwa Serikali ya Mkoa kwa ushirikiano unaoipatia Taasisi yake na kusema kuwa Taasisi ina majukumu mengi zaidi ya kushughulikia rushwa ikiwemo kufuatilia utekelezaji wa miradi na upatikanaji wa huduma kwa jamii ili wananchi wafurahie na kuendelea kuiamini na kuipenda Serikali yao.

Mkurugenzi Mkuu huyo  aliambatana na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma Bw. Victor Swella pamoja na Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma Bw. Euginius Hazinamwisho


#dodomafahariyawatanzania

#keroyakowajibuwangu                              

#mtiwangubirthdayyangu

Matangazo

  • "WANANCHI JITOKEZENI MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2025" - RC SENYAMULE February 17, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI HODARI 2025 KUTOKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • MRADI WA KUIMARISHA HUDUMA ZA KIFAFA WAZINDULIWA DODOMA

    May 08, 2025
  • UBALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA WAADHIMISHA MAFANIKIO YA MWAKA MMOJA NCHINI

    May 08, 2025
  • MAANDALIZI YA ‘ DIPLOMATIC CAPITAL CITY TOUR’ YAIVA

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.