• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI ZA DODOMA ZATAKIWA KUBUNI VYANZO VIPYA VYA MAPATO

Imetumwa : September 18th, 2025

_Amezielekeza Halmashauri kuibua vyanzo vipya vya mapato.

_ Amezielekeza Halmashauri kuandaa mkakati wa kuvutia wawekezaji.

Na; Happiness E. Chindiye

Habari - Dodoma RS

Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Dkt. Khatibu Kazungu, ametamatisha ziara yake ya kujitambulisha katika Halmashauri zote za Mkoa wa Dodoma kufuatia uteuzi wake na Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Ziara hiyo ilianza Septemba 15, 2025 katika Halmashauri ya Mpwapwa na leo Septemba 18, 2025 imemalizika katika Halmashauri za Chamwino na Dodoma.

Katika ziara hiyo, Dkt. Kazungu amewaelekeza Wakurugenzi Watendaji kutenga maeneo maalumu kwa ajili ya kuvutia wawekezaji, hatua itakayosaidia kurahisisha upatikanaji wa huduma na kuchochea maendeleo ya wananchi.

“Ni muhimu kila Halmashauri ikatenga maeneo ya kimkakati kwa ajili ya uwekezaji. Hatua hii itarahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi na pia kuchochea ukuaji wa uchumi wa mkoa wetu,” Amesema Dkt. Kazungu.

Aidha, Amewaelekeza Wakurugenzi  watendaji kuandaa mikakati mipya ya kubuni vyanzo vya mapato ili kuongeza mapato ya ndani na kukuza uchumi wa Mkoa wa Dodoma.

“Tusiishie kwenye vyanzo vya mapato vya jadi pekee. Ni lazima tuwe wabunifu, tuandike na kutekeleza mikakati mipya ya kuongeza mapato ili Dodoma izidi kusonga mbele kiuchumi,” Ameongeza.

Sambamba na hilo, Dkt. Kazungu amewahimiza watumishi wa serikali pamoja na wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.

&&&

#DodomaFahariYaWatanzania

#KeroYakoWajibuWangu

#KuraYakoHakiYakoJitokezeKupigaKura

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • HOSPITAL YA BENJAMIN MKAPA YAADHIMISHA MIAKA 10 YA MAFANIKIO

    October 13, 2025
  • SERIKALI INA DHAMIRA YA KILA MWANAMKE KUJIKOMBOA KIUCHUMI

    October 09, 2025
  • SACCOS NI FURSA KWA MAENDELEO YA KIUCHUMI YA WANAWAKE

    October 11, 2025
  • RC SENYAMULE AZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA DODOMA

    October 09, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.