• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
    • eoffice |
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
      • Huduma Zetu
    • Huduma Zetu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Administration and Human Resource Management Section
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure section
      • Management Monitoring and Inspection section;
      • Education and vocational Training section
      • Economic and productive sectors section;
      • Health, Social welfare and Nutrition services section
      • Industry, Trade and Investment section
    • Vitengo
      • Information Communication Technology (lcT) and Statistics
      • Government Communication Unit
      • Finance and Accounts unit;
      • Internal Audit unit
      • Legal services unit;
      • Procurement Management unit;
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KITUO CHA RELI YA MWENDO KASI DODOMA ‘SAMIA SULUHU HASSAN ‘, KUBORESHA HUDUMA ZAKE

Imetumwa : June 19th, 2025

Na. Hellen M. Minja

       Habari – DODOMA RS

Wataalamu wanaosimamia Kituo cha Reli ya Mwendokasi (SGR) cha Jijini Dodoma, Samia Suluhu Hassan, wanaendelea na maboresho ya huduma kwenye kituo hicho ili kukidhi matumizi sahihi ya mabehewa yanayobeba abiria takribani 7,000 kwa siku, wanaosafiri kutoka Dar es Salaam kuja Dodoma na kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam.

Hayo yamebainishwa na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Kaspar K. Mmuya leo Juni 19, 2025 alipotembelea Banda la Shirika la Reli Tanzania (TRC) linalopatikana katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi yanayoendelea katika Viwanja vya Bustani ya Mapumziko Chinangali Jijini Dodoma.

“Wataalam wangu wameniambia wanaendelea kuboresha huduma ili kukidhi matumizi sahihi ya Mabehewa haya ya ‘Royal’, ‘Bussines’ na ‘Economy’. Sisi wenye dhamana ya kusimamia maendeleo ya Mkoa wa Dodoma tunapata ‘Feedback’ kuhusu huduma wanazozipata kama zinafana na hadhi ya mabehewa hayo. Tunategemea tutoe huduma bora kwa kila anayetumia miundombinu yetu ambayo Serikali imewekeza.”

Ameongeza kuwa, ujio wa watu wengi ndani ya Mkoa huu ni fursa kibiashara hususan katika kuinua uchumi hivyo, ametoa hamasa kwa wakazi wa Jiji hili kuchangamkia fursa hizo kwani kila anayeingia Mkoani hapa, kuna huduma anakayohitaji ambayo itainua uchumi wa mtu mmoja mmoja na Mkoa kwa ujumla.  

Katibu Tawala Mkoa ametembele Mabanda yaliyo chini ya Wizara ya uchukuzi ikiwa ni pamoja na Banda la Wizara yenyewe, Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Chuo cha Usafirishaji cha Taifa, Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) pamoja na Shirika la Utangazaji Nchini (TBC).

Maonesho hayo kulekea Kilele cha Siku ya Utumishi wa Umma Duniani ifikapo Juni 23, 2025, huanza Juni 16 kila mwaka yakilenga kusogeza huduma karibu na wananchi kutokana na kukusanyika kwa Taasisi zote za Umma kwenye eneo moja huku zikitoa huduma kwa wananchi.

Kaulimbiu:  “Himiza Matumizi ya Mifumo ya Kidijiti ili Kuongeza Upatikanaji wa Taarifa na Kuchangia Uwajibikaji”.


#dodomafahariyawatanzania

#wekezadodomastawishadodoma

#keroyakowajibuwangu

#mtiwangubirthdayyangu

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RAIS DKT. SAMIA ASISITIZA KUIMARISHWA KWA KILIMO ILI KUJIHAKIKISHIA USALAMA WA CHAKULA

    June 28, 2025
  • SERIKALI IMEJIZATITI KULETA MAENDELEO KWA KUIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA BIASHARA

    June 25, 2025
  • TANZANIA SIYO SALAMA KWA WAUZAJI , WASAFIRISHA, WALIMAJI NA WATUMIAJI WA DAWA ZA KULEVYA” - MHE. MAJALIWA

    June 26, 2025
  • SHUGHULI ZA KIBINADAMU ZATAJWA KUWA TISHIO KWA CHANZO CHA MAJI BONDE LA MAKUTUPORA JIJINI DODOMA

    June 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

RC SENYAMULE AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 2014 TOLEO LA 2023.
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.